<?xml version="1.0" encoding="UTF-8"?>
<rss version="2.0"
	xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"
	xmlns:wfw="http://wellformedweb.org/CommentAPI/"
	xmlns:dc="http://purl.org/dc/elements/1.1/"
	xmlns:atom="http://www.w3.org/2005/Atom"
	xmlns:sy="http://purl.org/rss/1.0/modules/syndication/"
	xmlns:slash="http://purl.org/rss/1.0/modules/slash/"
	>

<channel>
	<title>Kikwete 2010</title>
	<atom:link href="http://www.kikwete2010.co.tz/feed/" rel="self" type="application/rss+xml" />
	<link>http://www.kikwete2010.co.tz</link>
	<description>Pamoja Tuzidi Kusonga Mbele</description>
	<lastBuildDate>Thu, 18 Nov 2010 14:28:01 +0000</lastBuildDate>
	<language>en</language>
	<sy:updatePeriod>hourly</sy:updatePeriod>
	<sy:updateFrequency>1</sy:updateFrequency>
	<generator>http://wordpress.org/?v=3.0.1</generator>
		<item>
		<title>SHEREHE ZA KUAPISHWA WAZIRI MKUU MIZENGO PINDA-DODOMA</title>
		<link>http://www.kikwete2010.co.tz/sherehe-za-kuapishwa-waziri-mkuu-mizengo-pinda-dodoma/</link>
		<comments>http://www.kikwete2010.co.tz/sherehe-za-kuapishwa-waziri-mkuu-mizengo-pinda-dodoma/#comments</comments>
		<pubDate>Thu, 18 Nov 2010 14:28:01 +0000</pubDate>
		<dc:creator>admin</dc:creator>
				<category><![CDATA[News Updates]]></category>

		<guid isPermaLink="false">http://www.kikwete2010.co.tz/?p=2104</guid>
		<description><![CDATA[Makamu wa Rais Dk. Mohamed Gharib Bilal (kulia), Rais wa Zanzibar, Dk. Ali Mohamed Shein, Waziri Mkuu Mteule, Mozengo Pinda, Makamu wa kwanza wa Rais wa Zanzibar, Maalim Seif Sharif na Makamu wa pili wa Rais wa Zanzibar, Balozi Seif &#8230; <a href="http://www.kikwete2010.co.tz/sherehe-za-kuapishwa-waziri-mkuu-mizengo-pinda-dodoma/">Soma Zaidi <span class="meta-nav">&#8594;</span></a>]]></description>
			<content:encoded><![CDATA[<p><a href="http://www.kikwete2010.co.tz/wp-content/uploads/2010/11/1-14.jpg"><img class="alignleft size-full wp-image-2105" title="1-14" src="http://www.kikwete2010.co.tz/wp-content/uploads/2010/11/1-14.jpg" alt="" width="600" height="403" /></a></p>
<p>Makamu wa Rais Dk. Mohamed Gharib Bilal (kulia), Rais wa Zanzibar, Dk. Ali Mohamed Shein, Waziri Mkuu Mteule, Mozengo Pinda, Makamu wa kwanza wa Rais wa Zanzibar, Maalim Seif Sharif na Makamu wa pili wa Rais wa Zanzibar, Balozi Seif Ali Idd, wakiwa katika viwanja vya Ikulu ya Chamwino mjini Dodoma wakati wakimsubiri Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Jakaya Kikwete kuwasili mahala hapo kwa ajili ya kumuapisha Waziri Mkuu, Mizengo Pinda.</p>
<div id="attachment_2106" class="wp-caption alignleft" style="width: 610px"><a href="http://www.kikwete2010.co.tz/wp-content/uploads/2010/11/2-17.jpg"><img class="size-full wp-image-2106" title="2-17" src="http://www.kikwete2010.co.tz/wp-content/uploads/2010/11/2-17.jpg" alt="" width="600" height="403" /></a><p class="wp-caption-text">Makamu wa Rais Dk. Mohamed Gharib Bilal, akisalimiana na Mke wa Rais Mama Salma Kikwete wakati wa sherehe za kuapishwa Waziri Mkuu, Mizengo Pinda, zilizofanyika kwenye Viwanja vya Ikulu ya Chamwino mjini Dodoma leo Nov 18.</p></div>
<div id="attachment_2107" class="wp-caption alignleft" style="width: 610px"><a href="http://www.kikwete2010.co.tz/wp-content/uploads/2010/11/3-16.jpg"><img class="size-full wp-image-2107 " title="3-16" src="http://www.kikwete2010.co.tz/wp-content/uploads/2010/11/3-16.jpg" alt="" width="600" height="403" /></a><p class="wp-caption-text">Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk. Jakaya Kikwete, Makamu wake Dk. Mohamed Gharib Bilal, Rais wa Zanzibar, Ali Mohamed Shein, Waziri Mkuu, Mizengo Pinda, Makamu wa kwanza wa Rais wa Zanzibar, Maali Seif Sharif, Jaji Mkuu wa Tanzania, Agustino Ramadhan, Makamu wa pili wa Rais wa Zanzibar, Balozi Seif Ali Idd, Spika wa Bunge, Anna Makinda, Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Frederick Werema na Katibu Mkuu, Philemin Luhanjo,  wakiwa katika picha ya pamoja baada ya sherehe za kuapishwa Waziri Mkuu mjini Dodoma.</p></div>
<div id="attachment_2108" class="wp-caption alignleft" style="width: 610px"><a href="http://www.kikwete2010.co.tz/wp-content/uploads/2010/11/5-12.jpg"><img class="size-full wp-image-2108" title="5-12" src="http://www.kikwete2010.co.tz/wp-content/uploads/2010/11/5-12.jpg" alt="" width="600" height="403" /></a><p class="wp-caption-text">Makamu wa Rais Dk. Mohamed Gharib Bilal, akisalimiana na aliyekuwa mgombea Ubunge wa Jimbo la Kawe kupitia tiketi ya NCCR Mageuzi, James Mbatia, katika viwanja vya  Ikuluv ya Chamwino mjini Dodoma Nov 18 wakati wa sherehe za kuapishwa Waziri Mkuu.</p></div>
<div id="attachment_2109" class="wp-caption alignleft" style="width: 610px"><a href="http://www.kikwete2010.co.tz/wp-content/uploads/2010/11/6-10.jpg"><img class="size-full wp-image-2109" title="6-10" src="http://www.kikwete2010.co.tz/wp-content/uploads/2010/11/6-10.jpg" alt="" width="600" height="403" /></a><p class="wp-caption-text">e wa Makamu wa Rais, Asha Bilal na Mke wa Rasi,  Mama Salma Kikwete, wakisalimiana na wananchi waliohudhuria Sherehe za kuapishwa Waziri Mkuu Mizengo Pinda,katika viwanja vya Ikulu ya Chamwino mjini Dodoma Nov 18. Picha na Muhidin Sufiani</p></div>
<div id="attachment_2110" class="wp-caption alignleft" style="width: 610px"><a href="http://www.kikwete2010.co.tz/wp-content/uploads/2010/11/8-6.jpg"><img class="size-full wp-image-2110" title="8-6" src="http://www.kikwete2010.co.tz/wp-content/uploads/2010/11/8-6.jpg" alt="" width="600" height="403" /></a><p class="wp-caption-text">Makamu wa Rais, Dk. Mohamed Gharib Bilal, akizungumza na Mjumbe wa Baraza Kuu la Wazazi, Mwilima, wakati wa sherehe za kuapishwa Waziri Mkuu, zilizofanyika kwenye Viwanja vya Ikulu ya Chamwino mjini Dodoma Nov 18.</p></div>
<div id="attachment_2111" class="wp-caption alignleft" style="width: 610px"><a href="http://www.kikwete2010.co.tz/wp-content/uploads/2010/11/9-2.jpg"><img class="size-full wp-image-2111" title="9-2" src="http://www.kikwete2010.co.tz/wp-content/uploads/2010/11/9-2.jpg" alt="" width="600" height="403" /></a><p class="wp-caption-text">Makamu wa Rais, Dk. Mohamed Gharib Bilal, akisalimiana na mwakishi  wa kuteuliwa, ambaye pia ni Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa kwanza wa Serikali yaMapinduzi  Zaznibar, Fatma Fereji, wakati wa sherehe za kuapishwa Waziri Mkuu zilizofanyika kwenye Viwanja vya Ikulu ya Chamwino mjini Dodoma Nov 18.</p></div>
<div id="attachment_2112" class="wp-caption alignleft" style="width: 610px"><a href="http://www.kikwete2010.co.tz/wp-content/uploads/2010/11/10-2.jpg"><img class="size-full wp-image-2112 " title="10-2" src="http://www.kikwete2010.co.tz/wp-content/uploads/2010/11/10-2.jpg" alt="" width="600" height="403" /></a><p class="wp-caption-text">Waziri Mkuu Mstaafu, Frederick Sumaye, akiteta jambo na George Mkuchika, wakati wa sherehe hizo.</p></div>
<div id="attachment_2113" class="wp-caption alignleft" style="width: 610px"><a href="http://www.kikwete2010.co.tz/wp-content/uploads/2010/11/11-2.jpg"><img class="size-full wp-image-2113" title="11-2" src="http://www.kikwete2010.co.tz/wp-content/uploads/2010/11/11-2.jpg" alt="" width="600" height="399" /></a><p class="wp-caption-text">Rais Jakaya Kikwete, akimuapisha Waziri Mkuu Mizengo Pinda, wakati wa sherehe hizo zilizofanyika kwenye Viwanja vya Ikulu ya Chamwino mjini Dodoma leo Nov 18. Picha na Muhidin Sufiani</p></div>
<div id="attachment_2114" class="wp-caption alignleft" style="width: 610px"><a href="http://www.kikwete2010.co.tz/wp-content/uploads/2010/11/13-2.jpg"><img class="size-full wp-image-2114" title="13-2" src="http://www.kikwete2010.co.tz/wp-content/uploads/2010/11/13-2.jpg" alt="" width="600" height="399" /></a><p class="wp-caption-text">Makamu wa Rais Dk. Mohamed Gharib Bilal, akizungumza jambo na Jaji Mkuu Agustino Ramadhan, wakati wa sherehe za kuapishwa Waziri Mkuu zilizofayika kwenye Viwanja vya Ikulu ya Chamwino mjini Dodoma Nov 18.</p></div>
]]></content:encoded>
			<wfw:commentRss>http://www.kikwete2010.co.tz/sherehe-za-kuapishwa-waziri-mkuu-mizengo-pinda-dodoma/feed/</wfw:commentRss>
		<slash:comments>0</slash:comments>
		</item>
		<item>
		<title>Kikwete Apiga Kura Msoga</title>
		<link>http://www.kikwete2010.co.tz/kikwete-apiga-kura-msoga/</link>
		<comments>http://www.kikwete2010.co.tz/kikwete-apiga-kura-msoga/#comments</comments>
		<pubDate>Sun, 31 Oct 2010 16:47:02 +0000</pubDate>
		<dc:creator>admin</dc:creator>
				<category><![CDATA[News Updates]]></category>

		<guid isPermaLink="false">http://www.kikwete2010.co.tz/?p=2099</guid>
		<description><![CDATA[Rais Jakaya Mrisho Kikwete na Mgombea Urais kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM) leo, Jumapili, Oktoba 31, 2010, amepiga kura katika kijiji cha kwao cha Msoga, Jimbo la Chalinze, Wilaya ya Bagamoyo, Mkoa wa Pwani. Akifuatana na mkewe, Mama Salma Kikwete, &#8230; <a href="http://www.kikwete2010.co.tz/kikwete-apiga-kura-msoga/">Soma Zaidi <span class="meta-nav">&#8594;</span></a>]]></description>
			<content:encoded><![CDATA[<p>Rais Jakaya Mrisho Kikwete na Mgombea Urais kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM) leo, Jumapili, Oktoba 31, 2010, amepiga kura katika kijiji cha kwao cha Msoga, Jimbo la Chalinze, Wilaya ya Bagamoyo, Mkoa wa Pwani.</p>
<p>Akifuatana na mkewe, Mama Salma Kikwete, na sehemu ya familia yake, Rais Kikwete amewasili kwenye kituo cha Shule ya Msingi la Msoga kiasi cha saa sita kasoro robo na kwenda moja kwa moja kwa msimamizi wa kituo.</p>
<p>Shughuli nzima ya kupiga kura imemchukua kiasi cha dakika tano na baada ya kumaliza kupiga picha amejibu maswali machache ya kundi kubwa la waandishi wa habari waliokwenda kumshuhudia akipiga picha.</p>
<p>Baada ya hapo, Rais Kikwete ametembelea jamaa na ndugu katika kijiji alikozaliwa kwa kiasi cha saa moja kabla ya kurejea Dar Es Salaam kusubiri matokeo ya kura.</p>
]]></content:encoded>
			<wfw:commentRss>http://www.kikwete2010.co.tz/kikwete-apiga-kura-msoga/feed/</wfw:commentRss>
		<slash:comments>0</slash:comments>
		</item>
		<item>
		<title>DK. JAKAYA NA DK. BILAL WAMALIZIA KAMPENI ZAO JANGWANI LEO</title>
		<link>http://www.kikwete2010.co.tz/dk-jakaya-na-dk-bilal-wamalizia-kampeni-zao-jangwani-leo/</link>
		<comments>http://www.kikwete2010.co.tz/dk-jakaya-na-dk-bilal-wamalizia-kampeni-zao-jangwani-leo/#comments</comments>
		<pubDate>Sat, 30 Oct 2010 15:17:52 +0000</pubDate>
		<dc:creator>admin</dc:creator>
				<category><![CDATA[News Updates]]></category>

		<guid isPermaLink="false">http://www.kikwete2010.co.tz/?p=2090</guid>
		<description><![CDATA[Mgombea mwenza wa urais wa CCM, Dk. Mohamed Gharib Bilal, akisalimiana na Rais Mstaaafu wa awamu ya tatu, Benjamin Mkapa na rais Mstaafu wa awamu ya pili, Ali Hassan Mwinyi, wakati alipomaliza kutoa salamu zake kwenye hafla ya kufunga mikutano &#8230; <a href="http://www.kikwete2010.co.tz/dk-jakaya-na-dk-bilal-wamalizia-kampeni-zao-jangwani-leo/">Soma Zaidi <span class="meta-nav">&#8594;</span></a>]]></description>
			<content:encoded><![CDATA[<p><a href="http://www.kikwete2010.co.tz/wp-content/uploads/2010/10/7-7.jpg"><img class="alignleft size-full wp-image-2091" title="7-7" src="http://www.kikwete2010.co.tz/wp-content/uploads/2010/10/7-7.jpg" alt="" width="600" height="400" /></a></p>
<p>Mgombea mwenza wa urais wa CCM, Dk. Mohamed Gharib Bilal, akisalimiana na Rais Mstaaafu wa awamu ya tatu, Benjamin Mkapa na rais Mstaafu wa awamu ya pili, Ali Hassan Mwinyi, wakati alipomaliza kutoa salamu zake kwenye hafla ya kufunga mikutano ya kampeni  iliyofanyika kwenye uwanja wa Jangwani Okt 30.</p>
<div id="attachment_2092" class="wp-caption alignleft" style="width: 610px"><a href="http://www.kikwete2010.co.tz/wp-content/uploads/2010/10/6-8.jpg"><img class="size-full wp-image-2092" title="6-8" src="http://www.kikwete2010.co.tz/wp-content/uploads/2010/10/6-8.jpg" alt="" width="600" height="400" /></a><p class="wp-caption-text">Mgombea urais wa CCM, Dk. Jakaya Kikwete, akisalimiana na mgombea mwenza wake Dk. Mohamed Gharib Bilal, wakati akishuka jukwaani baada ya kumaliza kutoa salamu kwenye hafla ya kufunga mikutano ya kampeni wa CCM, iliyofanyika kwenye Uwanja wa Jangwani Okt 30.</p></div>
<div id="attachment_2093" class="wp-caption alignleft" style="width: 610px"><a href="http://www.kikwete2010.co.tz/wp-content/uploads/2010/10/5-11.jpg"><img class="size-full wp-image-2093" title="5-11" src="http://www.kikwete2010.co.tz/wp-content/uploads/2010/10/5-11.jpg" alt="" width="600" height="400" /></a><p class="wp-caption-text">Dk. Bilal, akizungumza jukwaani wakati wa hafla ya kufunga mikutano ya kampeni ya CCM, iliyofanyika kwenye Uwanja wa Jangwani okt 30.</p></div>
<div id="attachment_2094" class="wp-caption alignleft" style="width: 610px"><a href="http://www.kikwete2010.co.tz/wp-content/uploads/2010/10/4-10.jpg"><img class="size-full wp-image-2094" title="4-10" src="http://www.kikwete2010.co.tz/wp-content/uploads/2010/10/4-10.jpg" alt="" width="600" height="403" /></a><p class="wp-caption-text">Sehemu ya wanachama wa CCM na wananchi waliojitokeza kuhudhulia hafla hiyo ya kufunga mikutano ya kampeni ya CCM, iliyofanyika kwenye Uwanja wa Jangwani Okt 30.</p></div>
<div id="attachment_2095" class="wp-caption alignleft" style="width: 610px"><a href="http://www.kikwete2010.co.tz/wp-content/uploads/2010/10/3-15.jpg"><img class="size-full wp-image-2095" title="3-15" src="http://www.kikwete2010.co.tz/wp-content/uploads/2010/10/3-15.jpg" alt="" width="600" height="403" /></a><p class="wp-caption-text">Mgombea Urais wa CCM, Dk. Jakaya Kikwete, akisalimiana na Mjumbe wa Halmashauri kuu kupitia Mkoa wa Dar es Salaam, Asha Baraka, wakati akiingia kwenye viwanja vya Jangwani okt 30 kwa ajili ya kufunga mikutano ya kampeni.</p></div>
<div id="attachment_2096" class="wp-caption alignleft" style="width: 610px"><a href="http://www.kikwete2010.co.tz/wp-content/uploads/2010/10/2-16.jpg"><img class="size-full wp-image-2096" title="2-16" src="http://www.kikwete2010.co.tz/wp-content/uploads/2010/10/2-16.jpg" alt="" width="600" height="403" /></a><p class="wp-caption-text">Mgombea  urais wa CCM Dk Jakaya Kikwete, akisalimiana na wananchi wakati alipowasili kwenye viwanja vya Jangwani Okt 30 kwa ajili ya kufunga mikutano ya kampeni ya CCM.</p></div>
]]></content:encoded>
			<wfw:commentRss>http://www.kikwete2010.co.tz/dk-jakaya-na-dk-bilal-wamalizia-kampeni-zao-jangwani-leo/feed/</wfw:commentRss>
		<slash:comments>0</slash:comments>
		</item>
		<item>
		<title>DK. BILAL  AMALIZIA ZIARA YAKE YA KAMPENI MERERANI</title>
		<link>http://www.kikwete2010.co.tz/dk-bilal-amalizia-ziara-yake-ya-kampeni-mererani/</link>
		<comments>http://www.kikwete2010.co.tz/dk-bilal-amalizia-ziara-yake-ya-kampeni-mererani/#comments</comments>
		<pubDate>Fri, 29 Oct 2010 07:16:51 +0000</pubDate>
		<dc:creator>admin</dc:creator>
				<category><![CDATA[News Updates]]></category>

		<guid isPermaLink="false">http://www.kikwete2010.co.tz/?p=2072</guid>
		<description><![CDATA[Mgombea Mwenza wa urais wa CCM, Dk. Mohamed Gharib Bilal, akisalimiana na msanii wa kikundi cha burudani cha New Vission cha Mirerani, Sifuni Justine(miaka 18), wakati alipowasili kwenye uwanja wa CCM Kata ya Endiamtu mji mdogo wa Mirerani Wilaya ya &#8230; <a href="http://www.kikwete2010.co.tz/dk-bilal-amalizia-ziara-yake-ya-kampeni-mererani/">Soma Zaidi <span class="meta-nav">&#8594;</span></a>]]></description>
			<content:encoded><![CDATA[<p><a href="http://www.kikwete2010.co.tz/wp-content/uploads/2010/10/1-12.jpg"><img class="alignleft size-full wp-image-2073" title="1-12" src="http://www.kikwete2010.co.tz/wp-content/uploads/2010/10/1-12.jpg" alt="" width="600" height="894" /></a></p>
<p>Mgombea Mwenza wa urais wa CCM, Dk. Mohamed Gharib Bilal, akisalimiana na msanii wa kikundi cha burudani cha New Vission cha Mirerani, Sifuni Justine(miaka 18), wakati alipowasili kwenye uwanja wa CCM Kata ya Endiamtu mji mdogo wa Mirerani Wilaya ya Simanjiro, kufanya mkutano wa kampeni Okt 28.</p>
<div id="attachment_2074" class="wp-caption alignleft" style="width: 610px"><a href="http://www.kikwete2010.co.tz/wp-content/uploads/2010/10/2-15.jpg"><img class="size-full wp-image-2074" title="2-15" src="http://www.kikwete2010.co.tz/wp-content/uploads/2010/10/2-15.jpg" alt="" width="600" height="704" /></a><p class="wp-caption-text">Msanii wa kikundi cha Burudani cha New Vission cha Mirerani, Sifuni Justine (miaka 18), akichecha na kupeperusha  kipeperushi cha Jakaya Kikwete, wakati wa mapokezi ya mgombea mwenza wa urais wa CCM, Dk. Mohamed Gharib Bilal, alipowasili kwenye uwanja wa CCM katika Jimbo la Simanjiro kufanya mkutano wa kampeni Okt 28.</p></div>
<div id="attachment_2075" class="wp-caption alignleft" style="width: 610px"><a href="http://www.kikwete2010.co.tz/wp-content/uploads/2010/10/3-14.jpg"><img class="size-full wp-image-2075" title="3-14" src="http://www.kikwete2010.co.tz/wp-content/uploads/2010/10/3-14.jpg" alt="" width="600" height="403" /></a><p class="wp-caption-text">Mgombea mwenza wa urais wa CCM, Dk. Mohamed Gharib Bilal, akipokea kadi ya mwanachama wa Chadema, Ernest Joanes, aliyejiengua na katika chama hicho na kujiunga na CCM, sambamba na Wanachama 247 kutoka Vyama vya upinzani ambapo wote walikabidhiwa kadi za CCM wakati wa mkutano wa kampeni wa Dk. Bilal.</p></div>
<div id="attachment_2076" class="wp-caption alignleft" style="width: 610px"><a href="http://www.kikwete2010.co.tz/wp-content/uploads/2010/10/4-9.jpg"><img class="size-full wp-image-2076" title="4-9" src="http://www.kikwete2010.co.tz/wp-content/uploads/2010/10/4-9.jpg" alt="" width="600" height="403" /></a><p class="wp-caption-text">Baadhi ya wanachama waliojiengua katika vyama vyao na kujiunga na CCM, wakisoma kadi zao baada ya kukabidhiwa na mgombea mwenza Dk Bilal, wakati wa mkutano wa kampeni uliofanyika kwenye uwanja wa CCM, Mirerani leo.</p></div>
<div id="attachment_2077" class="wp-caption alignleft" style="width: 610px"><a href="http://www.kikwete2010.co.tz/wp-content/uploads/2010/10/5-10.jpg"><img class="size-full wp-image-2077" title="5-10" src="http://www.kikwete2010.co.tz/wp-content/uploads/2010/10/5-10.jpg" alt="" width="600" height="403" /></a><p class="wp-caption-text">Sehemu ya  wanachama wa vyama pinzani kati ya 247, wakinyoosha kadi zao za CCM wakati walipokuwa wakiapishwa baada ya kukabidhiwa kadi za CCM, waliporejesha kadi za vyama vyao kwa mgombea mwenza wa urais wa CCM, Dk Mohamed Gharib Bilal, uliofanyika kwenye Uwanja wa CCM Mirerani Wilaya ya Simanjiro Mkoa wa Manyara Okt 28.</p></div>
<div id="attachment_2080" class="wp-caption alignleft" style="width: 610px"><a href="http://www.kikwete2010.co.tz/wp-content/uploads/2010/10/7-6.jpg"><img class="size-full wp-image-2080" title="7-6" src="http://www.kikwete2010.co.tz/wp-content/uploads/2010/10/7-6.jpg" alt="" width="600" height="894" /></a><p class="wp-caption-text">Mgombea mwenza wa urais wa CCM, DK. Mohamed Gharib Bilal, akiwa na vazi la asili la Kimasai, baada ya kutunukiwa na kuvishwa vazi hilo kwa heshima aliyopewa na Wamasai kwa kufika katika Wilaya yao ya SImanjiro na kufanya mkutano wa kampeni Okt 28.</p></div>
<div id="attachment_2081" class="wp-caption alignleft" style="width: 610px"><a href="http://www.kikwete2010.co.tz/wp-content/uploads/2010/10/8-5.jpg"><img class="size-full wp-image-2081" title="8-5" src="http://www.kikwete2010.co.tz/wp-content/uploads/2010/10/8-5.jpg" alt="" width="600" height="403" /></a><p class="wp-caption-text">Mgombea Mwenza wa urais wa CCM. Dk. Mohamed Gharib Bilal, akiwahutubia wananchi wa Kata ya Endamtu Wilaya ya Simanjiro Mkoa wa Manyara Okt 28</p></div>
]]></content:encoded>
			<wfw:commentRss>http://www.kikwete2010.co.tz/dk-bilal-amalizia-ziara-yake-ya-kampeni-mererani/feed/</wfw:commentRss>
		<slash:comments>0</slash:comments>
		</item>
		<item>
		<title>Mkutano wa Kampeni Mwembeyanga (Temeke) &#8211; JK afunika TMK</title>
		<link>http://www.kikwete2010.co.tz/mkutano-wa-kampeni-mwembeyanga-temeke-jk-afunika-tmk/</link>
		<comments>http://www.kikwete2010.co.tz/mkutano-wa-kampeni-mwembeyanga-temeke-jk-afunika-tmk/#comments</comments>
		<pubDate>Thu, 28 Oct 2010 15:20:45 +0000</pubDate>
		<dc:creator>admin</dc:creator>
				<category><![CDATA[News Updates]]></category>

		<guid isPermaLink="false">http://www.kikwete2010.co.tz/?p=2083</guid>
		<description><![CDATA[Akiwa jukwaani Mgombea Urais kupitia CCM Mheshimiwa Jakaya Kikwete akiwapungia wananchi wa Temeke mara tu baada ya kwasili kwenye mkutano wa kampeni huko Mwembeyanga tarehe 27.10.2010.]]></description>
			<content:encoded><![CDATA[<p><a href="http://www.kikwete2010.co.tz/wp-content/uploads/2010/10/Mwembeyanga-26.jpg"><a href="http://www.kikwete2010.co.tz/wp-content/uploads/2010/10/Mwembeyanga-261.jpg"><img class="alignleft size-full wp-image-2085" title="Mwembeyanga-(26)" src="http://www.kikwete2010.co.tz/wp-content/uploads/2010/10/Mwembeyanga-261.jpg" alt="" width="600" height="360" /></a></a></p>
<p>Akiwa jukwaani Mgombea Urais kupitia CCM Mheshimiwa Jakaya Kikwete akiwapungia wananchi wa Temeke mara tu baada ya kwasili kwenye mkutano wa kampeni huko Mwembeyanga tarehe 27.10.2010.</p>
<div id="attachment_2086" class="wp-caption alignleft" style="width: 610px"><a href="http://www.kikwete2010.co.tz/wp-content/uploads/2010/10/Mwembeyanga-39.jpg"><img class="size-full wp-image-2086" title="Mwembeyanga-(39)" src="http://www.kikwete2010.co.tz/wp-content/uploads/2010/10/Mwembeyanga-39.jpg" alt="" width="600" height="326" /></a><p class="wp-caption-text">Wanamuziki wa kizazi kipya wakiporomosha muziki muda mfupi kabla ya Mgombea Urais kupia CCM Mheshimiwa Jakaya Kikwete kuhutubia mkutano wa kampeni huko Mwembeyanga tarehe 27.10.2010.</p></div>
<div id="attachment_2087" class="wp-caption alignleft" style="width: 610px"><a href="http://www.kikwete2010.co.tz/wp-content/uploads/2010/10/Mwembeyanga-58.jpg"><img class="size-full wp-image-2087" title="Mwembeyanga-(58)" src="http://www.kikwete2010.co.tz/wp-content/uploads/2010/10/Mwembeyanga-58.jpg" alt="" width="600" height="318" /></a><p class="wp-caption-text">Umati mkubwa wa wananchi waliofurika kwenye mkutano wa kampeni wa CCM uliofanyika huko Mwembeyanga na kuhutubiwa na Rais kikwete.</p></div>
<div id="attachment_2088" class="wp-caption alignleft" style="width: 610px"><a href="http://www.kikwete2010.co.tz/wp-content/uploads/2010/10/Mwembeyanga-85.jpg"><img class="size-full wp-image-2088" title="Mwembeyanga-(85)" src="http://www.kikwete2010.co.tz/wp-content/uploads/2010/10/Mwembeyanga-85.jpg" alt="" width="600" height="349" /></a><p class="wp-caption-text">Umati mkubwa wa wananchi waliofurika kwenye mkutano wa kampeni wa CCM uliofanyika huko Mwembeyanga na kuhutubiwa na Rais kikwete.</p></div>
]]></content:encoded>
			<wfw:commentRss>http://www.kikwete2010.co.tz/mkutano-wa-kampeni-mwembeyanga-temeke-jk-afunika-tmk/feed/</wfw:commentRss>
		<slash:comments>0</slash:comments>
		</item>
		<item>
		<title>Dk Bilal aitabiria ushindi mnono CCM: SIMANJIRO</title>
		<link>http://www.kikwete2010.co.tz/dk-bilal-aitabiria-ushindi-mnono-ccm-simanjiro/</link>
		<comments>http://www.kikwete2010.co.tz/dk-bilal-aitabiria-ushindi-mnono-ccm-simanjiro/#comments</comments>
		<pubDate>Thu, 28 Oct 2010 14:56:08 +0000</pubDate>
		<dc:creator>admin</dc:creator>
				<category><![CDATA[News Updates]]></category>

		<guid isPermaLink="false">http://www.kikwete2010.co.tz/?p=2067</guid>
		<description><![CDATA[Mgombea mwenza wa nafasi ya urais kupitia CCM, Dk. Mohamed Gharib Bilal, amesisitiza kuwa CCM itapata ushindi mnono katika uchaguzi mkuu unaofanyika Jumapili hii kwa kuwa chama hicho kimebakia kuwa kinara wa kuwaunganisha Watanzania tofauti na vyama vingine. Akizungumza katika &#8230; <a href="http://www.kikwete2010.co.tz/dk-bilal-aitabiria-ushindi-mnono-ccm-simanjiro/">Soma Zaidi <span class="meta-nav">&#8594;</span></a>]]></description>
			<content:encoded><![CDATA[<p><a href="http://www.kikwete2010.co.tz/wp-content/uploads/2010/10/3-77.jpg"><img class="alignleft size-full wp-image-2068" title="3-7" src="http://www.kikwete2010.co.tz/wp-content/uploads/2010/10/3-77.jpg" alt="" width="600" height="403" /></a>Mgombea mwenza wa nafasi ya urais kupitia CCM, Dk. Mohamed Gharib Bilal, amesisitiza kuwa CCM itapata ushindi mnono katika uchaguzi mkuu unaofanyika Jumapili hii kwa kuwa chama hicho kimebakia kuwa kinara wa kuwaunganisha Watanzania tofauti na vyama vingine.</p>
<p>Akizungumza katika mkutano wa kampeni katika hatua za lala salama mkoani Manyara, wilaya ya Simanjiro, katika eneo la Mererani, Mgombea mwenza huyo alisema, Chama cha Mapinduzi kimefanya kampeni ya kisayansi na wananchi wamepokea kwa uhakika ilani ya CCM kwa kuwa inazingatia huduma zao za msingi na kwamba, mafanikio katika maisha ya wananchi yatazidi kuonekana katika kipindi cha pili cha utawala wa rais Kikwete.</p>
<p>Akizungumzia suala la elimu, Dk. Bilal alisisitiza kuwa nyongeza ya shule za sekondari wilayani Simanjiro ni ishara ya kubadilisha mienendo ya maisha katika jamii ya wafugaji hivyo, mkakati wa serikali wa kuongeza nyumba za walimu katika sekondari sambamba na utoaji wa vitabu vya sayansi vitakuwa ni taswira sahihi ya kujenga kizazi cha sasa katika kukabiliana na soko la ajira ambalo katika siku za hivi karibuni limechukua taswira ya sayansi na teknolojia.</p>
<p>Dk. Bilal alifafanua pia kuwa, mapenzi aliyonayo katika nchi hii na namna alivyojizatiti kukabiliana na kazi yake mpya ya Makamu wa Rais wa Tanzania, atahakikisha kuwa kila apewapo jukumu la kusaidia nchi analikimbilia kwa nguvu zake zote na akaongeza kuwa, hatapumzika kwa kuwa kupewa jukumu katika nafasi ya Makamu wa Rais ni heshima, na kila apewaye majukumu kama hayo anatakiwa kutambua kuwa ameaminiwa na wananchi na yeye anafahamu hivyo baada ya uchaguzi wananchi wategemee utendaji uliotukuka kutoka kwake.</p>
<p>Mgombea mwenza huyo aliwaambia pia wananchi wa Mererani kuwa, sheria mpya ya madini inatamka wazi kuwa uchimbaji wa madini ya Tanzanite katika siku zijazo utafanyika kwa kiasi kikubwa na Watanzania wenyewe, hivyo matatizo waliyokuwa wanakabiliwa nayo wachimbaji katika siku za nyuma yako katika hatua za kumalizika.</p>
<p>“Nafahamu mnataka kuchimba madini na kupata faida. Sisi tumeshaamua kuwa madini ghafi hayawezi kutolewa nje ya nchi. Tunataka yaboreshwe hapa hapa na ndio maana tunasisitiza elimu kwa vijana wetu ili ajira hizi zianzapo kutoka basi muweze kunufaika,” Dk. Bilal alisema huku akiongeza kuwa;</p>
<p>“Sera yetu katika afya inabaki palepale kuwa kila wilaya kuwe na hospitali iliyo na uwezo wa kutoa huduma bora, vituo vya afya katika kata zetu na zahanati katika vijiji vyetu.”</p>
<p>Katika sekta ya ufugaji, Mgombea mwenza huyo wa CCM alifafanua kuwa maeneo yaliyotengwa kwa ajili ya ufugaji hayatabadilishwa matumizi ili kuwapa fursa wafugaji kufanya kazi zao kisasa na ili kutoa mazao bora yatakayotanua uchumi wa wafugaji. Pia aliwaaambia wakazi wa Simanjiro juu ya kuongeza majosho kwa kuwa bila kufanya hivyo ufugaji utabakia katika hatari.</p>
<p>“Siku zote tunatazama watu wetu wakoje. Tunatazama rasilimali watu sambamba na uzoefu tulioupata huko nyuma. Hali hii inatusadia kupanga mipango ndio maana suala la maji tumelipa mkakati wa kweli ili lipate ufumbuzi, hili hatudanganyi subirini muone ila kwa sasa kazi ianze kwa kupiga kura siku ya Jumapili,” alisema.</p>
<p>Awali akimtambulisha mgombea mwenza kwa wananchi, Mbunge aliyepita bila kupingwa Christopher ole Sendeka alisema, wananchi wa jimbo lake wanaamini kuwa CCM itafanya kazi vema ya kuinua vipato vya wananchi wa jimbo lake lakini akasisitiza kuwa, upo umuhimu wa serikali kuharakisha huduma za maji kwa wananchi wa jimbo hilo kwa kuwa kero hiyo imekuwa ikiathiri wananchi kwa siku nyingi.</p>
<p>“Tusije tukafanya makosa, tumebakiwa na siku tatu. Tuhakikishe tumejipanga vizuri kumpatia rais Kikwete kura kwa ari zaidi, nguvu zaidi na kasi zaidi ili tupate maendeleo ya kweli hapa Simanjirio,” alisema Dk. Bilal.</p>
<p>Dk. Bilal amemaliza ziara zake za mikoani katika mikutano ya kampeni jana na leo anatarajiwa kurejea jijini Dar es Salaam ambapo huko atakuwa na mapumziko ya siku moja kabla ya kuungana na viongozi wenzake wa CCM katika kuhitimisha mkutano wa kampeni unaotarajiw akufanyika jijini hapa leo. Baada ya mkutano huo Dk. Bilal atasafiri kwenda kisiwani Unguja kwa ajili ya kupiga kura.</p>
]]></content:encoded>
			<wfw:commentRss>http://www.kikwete2010.co.tz/dk-bilal-aitabiria-ushindi-mnono-ccm-simanjiro/feed/</wfw:commentRss>
		<slash:comments>0</slash:comments>
		</item>
		<item>
		<title>Mkutano wa Kampeni Kata ya Kivule Jimbo la Ukonga: JK ahimiza amani na mshikamano, aahidi kuikabili kero ya maji Dar</title>
		<link>http://www.kikwete2010.co.tz/mkutano-wa-kampeni-kata-ya-kivule-jimbo-la-ukonga-jk-ahimiza-amani-na-mshikamano-aahidi-kuikabili-kero-ya-maji-dar/</link>
		<comments>http://www.kikwete2010.co.tz/mkutano-wa-kampeni-kata-ya-kivule-jimbo-la-ukonga-jk-ahimiza-amani-na-mshikamano-aahidi-kuikabili-kero-ya-maji-dar/#comments</comments>
		<pubDate>Thu, 28 Oct 2010 08:19:14 +0000</pubDate>
		<dc:creator>admin</dc:creator>
				<category><![CDATA[News Updates]]></category>

		<guid isPermaLink="false">http://www.kikwete2010.co.tz/?p=2061</guid>
		<description><![CDATA[Mgombea Urais wa Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete leo ameeleza kuwa serikali ya CCM ikipewa tena ridhaa ya kuongoza miaka mitano ijayo itahakikisha tatizo la maji jijini Dar es salaam linakwisha. Mheshimiwa Kikwete aliyasema hayo kwenye &#8230; <a href="http://www.kikwete2010.co.tz/mkutano-wa-kampeni-kata-ya-kivule-jimbo-la-ukonga-jk-ahimiza-amani-na-mshikamano-aahidi-kuikabili-kero-ya-maji-dar/">Soma Zaidi <span class="meta-nav">&#8594;</span></a>]]></description>
			<content:encoded><![CDATA[<p><a href="http://www.kikwete2010.co.tz/wp-content/uploads/2010/10/jk_thumb7.jpg"><img class="alignleft size-full wp-image-2063" title="jk_thumb7" src="http://www.kikwete2010.co.tz/wp-content/uploads/2010/10/jk_thumb7.jpg" alt="" width="150" height="100" /></a>Mgombea  Urais wa Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi Mheshimiwa Jakaya Mrisho  Kikwete leo ameeleza kuwa serikali ya CCM ikipewa tena ridhaa ya  kuongoza miaka mitano ijayo itahakikisha tatizo la maji jijini Dar es  salaam linakwisha.</p>
<p>Mheshimiwa  Kikwete aliyasema hayo kwenye mkutano wa kampeni Kata ya Kivule jimbo  jipya la Ukonga jijini Dar es salaam ambapo maelfu ya wakazi wa maeneo  hayo walijitokeza kwa wingi kumsikiliza.</p>
<p>Alisema tatizo la maji Dar es salaam limekuwa sugu kwasababu nyingi zikiwemo</p>
<ul>
<li>
<div>Uchache wa vyanzo vya maji ambavyo havitoshelezi mahitaji ya wakazi wa jiji</div>
</li>
<li>
<div>Mtandao wa maji uliopo sasa ni wa zamani na hivyo unahitaji ukarabati wa mara kwa mara</div>
</li>
<li>
<div>Maeneo mapya ya mji hakuna kabisa mtandao wa maji kutokana na ongezeko kubwa la watu Dar es salaam.</div>
</li>
</ul>
<p>Alisema  mahitaji ya maji kwa jiji la Dar es salaam kwa sasa ni mita za ujazo  360,000 na maji yaliyopo ni mita za ujazo 155,000 tu.</p>
<p>Aliongeza  kuwa serikali ya CCM imeanza kushughulikia tatizo hilo ambapo utafiti  uliofanywa unaonyesha kuwa Kimbiji kuna maji mengi ya kutatua tatizo  hilo. Baada ya uchimbaji wa visima kukamilika na mabomba kutandazwa,  utafiti unaonyesha kuwa mita za ujazo 260,000 zitapatikana.</p>
<p>Mheshimiwa  Kikwete pia alichukua muda mwingi kuelezea mafanikio yaliyopatikana  miaka mitano iliyopita ikiwemo upanuzi mkubwa wa sekta ya elimu jimboni  Ukonga. Alisema kuwa sasa hivi wanafunzi 42,120 wanaendelea na masomo ya  sekondari ukilinganisha na miaka mitano iliyopita ambapo ni wanafunzi  10,000 tu waliokuwa wanaendelea na elimu ya sekondari.</p>
<p>Naye  Mgombea Ubunge wa Jimbo la Segerea, aliongelea mafanikio hayo (jimbo  jipya la Ukonga) na kusema kuwa kati ya shule 34 za kata zilizojengwa  hivi karibuni, 22 zimejengwa jimbo la Ukonga.</p>
<p>Kwenye  mkutano huo pia walinadiwa wagombea udiwani na ubunge wa Jimbo la Ukonga  ambapo wananchi walisema bado wanaimani na CCM na wana imani na  Mheshimiwa Kikwete hivyo wataipigia kura CCM na wagombea wake.</p>
]]></content:encoded>
			<wfw:commentRss>http://www.kikwete2010.co.tz/mkutano-wa-kampeni-kata-ya-kivule-jimbo-la-ukonga-jk-ahimiza-amani-na-mshikamano-aahidi-kuikabili-kero-ya-maji-dar/feed/</wfw:commentRss>
		<slash:comments>0</slash:comments>
		</item>
		<item>
		<title>DK. AUNGURUMA JIMBO LA KAWE</title>
		<link>http://www.kikwete2010.co.tz/dk-aunguruma-jimbo-la-kawe/</link>
		<comments>http://www.kikwete2010.co.tz/dk-aunguruma-jimbo-la-kawe/#comments</comments>
		<pubDate>Wed, 27 Oct 2010 14:15:27 +0000</pubDate>
		<dc:creator>admin</dc:creator>
				<category><![CDATA[News Updates]]></category>

		<guid isPermaLink="false">http://www.kikwete2010.co.tz/?p=2054</guid>
		<description><![CDATA[Mgombea Mwenza wa urais wa CCM, Dk. Mohamed Gharib Bilal, akimkabidhi sare za CCM, aliyekuwa Katibu wa Siasa na Uenezi wa Wilaya ya Kinondoni wa chama cha CHADEMA, Jiran Edward, aliyejiengua katika wadhifa huo na kujiunga na CCM, ambapo alikabidhiwa  &#8230; <a href="http://www.kikwete2010.co.tz/dk-aunguruma-jimbo-la-kawe/">Soma Zaidi <span class="meta-nav">&#8594;</span></a>]]></description>
			<content:encoded><![CDATA[<p><a href="http://www.kikwete2010.co.tz/wp-content/uploads/2010/10/01-10.jpg"><img class="alignleft size-full wp-image-2055" title="01-10" src="http://www.kikwete2010.co.tz/wp-content/uploads/2010/10/01-10.jpg" alt="" width="600" height="403" /></a></p>
<p>Mgombea Mwenza wa urais wa CCM, Dk. Mohamed Gharib Bilal, akimkabidhi sare za CCM, aliyekuwa Katibu wa Siasa na Uenezi wa Wilaya ya Kinondoni wa chama cha CHADEMA, Jiran Edward, aliyejiengua katika wadhifa huo na kujiunga na CCM, ambapo alikabidhiwa  kadi ya CCM baada ya kurejesha ya chama chake cha awali wakati wa mkutano wa kampeni wa mgombea mwenza Dk Bilal uliofanyika kwenye Uwanja wa Shule ya Msingi Bunju A Wilaya ya Kinondono jijini Dar es Salaam okt 27.</p>
<div id="attachment_2056" class="wp-caption alignleft" style="width: 610px"><a href="http://www.kikwete2010.co.tz/wp-content/uploads/2010/10/02-9.jpg"><img class="size-full wp-image-2056" title="02-9" src="http://www.kikwete2010.co.tz/wp-content/uploads/2010/10/02-9.jpg" alt="" width="600" height="403" /></a><p class="wp-caption-text">Mgombea Mwenza wa urais wa CCM, Dk. Mohamed Gharib Bilal, akimkabidhi sare za CCM, aliyekuwa Katibu wa Siasa na Uenezi wa Wilaya ya Kinondoni wa chama cha CHADEMA, Jiran Edward, aliyejiengua katika wadhifa huo na kujiunga na CCM, ambapo alikabidhiwa  kadi ya CCM baada ya kurejesha ya chama chake cha awali wakati wa mkutano wa kampeni wa mgombea mwenza Dk Bilal uliofanyika kwenye Uwanja wa Shule ya Msingi Bunju A Wilaya ya Kinondono jijini Dar es Salaam okt 27.</p></div>
<div id="attachment_2057" class="wp-caption alignleft" style="width: 610px"><a href="http://www.kikwete2010.co.tz/wp-content/uploads/2010/10/03-8.jpg"><img class="size-full wp-image-2057" title="03-8" src="http://www.kikwete2010.co.tz/wp-content/uploads/2010/10/03-8.jpg" alt="" width="600" height="403" /></a><p class="wp-caption-text">Mgombea mwenza wa urais wa CCM, DK. Mohamed Gharib Bilal, akimkabidhi kadi ya CCM, aliyekuwa mgombea udiwani wa Kata ya Bunju kwa tiketi ya NCCR Mageuzi, Luliko Seme, ambaye pia alikuwa Mwenyekiti wa chama hicho wa Kata ya Bunju, ambaye alirejesha kadi na kujiunga na CCM, wakati wa mkutano wa kampeni wa Dk. Bilal, uliofanyika kwenye Uwanja wa Shule ya Msingi Bunju A, Wilaya ya Kinondoni Jijini Dar es Salaam Okt 27.</p></div>
<div id="attachment_2058" class="wp-caption alignleft" style="width: 610px"><a href="http://www.kikwete2010.co.tz/wp-content/uploads/2010/10/04-9.jpg"><img class="size-full wp-image-2058" title="04-9" src="http://www.kikwete2010.co.tz/wp-content/uploads/2010/10/04-9.jpg" alt="" width="600" height="403" /></a><p class="wp-caption-text">Wanachama wa vyama pinzani waliowawakilisha wenzao 100 waliojiengua katika vyama vyao na kujiunga na CCM, wakinyoosha mikono kula kiapo baada ya kurejesha kadi zao na kukabidhiwa kadi za CCM wakati wa mkutano wa kampeni wa mgombea mwenza wa urais wa CCM, Dk. Mohamed Gharib Bilal, uliofanyika kwenye uwanja wa Shule ya Msingi Bunju A Wilaya ya kinondoni jijini Dar es Salaam okt 27. </p></div>
<div id="attachment_2059" class="wp-caption alignleft" style="width: 610px"><a href="http://www.kikwete2010.co.tz/wp-content/uploads/2010/10/05-8.jpg"><img class="size-full wp-image-2059" title="05-8" src="http://www.kikwete2010.co.tz/wp-content/uploads/2010/10/05-8.jpg" alt="" width="600" height="403" /></a><p class="wp-caption-text">Mgombea Mwenza wa urais wa CCM, Dk. Mohamed Gharib Bilal, akimnadi mgombea ubunge wa Jimbo la Kawe, Angela Kiziga, wakati wa mkutano wa kampeni uliofanyika kwenye uwanja wa Shule ya Msingi Bunju A Wilaya ya kinondoni jijini Dar es Salaam  okt 27.</p></div>
]]></content:encoded>
			<wfw:commentRss>http://www.kikwete2010.co.tz/dk-aunguruma-jimbo-la-kawe/feed/</wfw:commentRss>
		<slash:comments>0</slash:comments>
		</item>
		<item>
		<title>DK. BILAL USO KWA USO NA DK SHEIN</title>
		<link>http://www.kikwete2010.co.tz/dk-bilal-uso-kwa-uso-na-dk-shein/</link>
		<comments>http://www.kikwete2010.co.tz/dk-bilal-uso-kwa-uso-na-dk-shein/#comments</comments>
		<pubDate>Wed, 27 Oct 2010 09:59:25 +0000</pubDate>
		<dc:creator>admin</dc:creator>
				<category><![CDATA[News Updates]]></category>

		<guid isPermaLink="false">http://www.kikwete2010.co.tz/?p=2045</guid>
		<description><![CDATA[Mgombea Mwenza wa urais wa CCM, Dk. Mohamed Gharib Bilal (kulia) akisalaimiana na Mgombea urais wa Zanzibar, Dk. Ali Mohamed Shein,  walipokutana uwanja wa Ndege wa Mwalimu Nyerere wa Jijini Dar es Salaam leo mchana wakati Dk. Shein, akiondoka kuelekea &#8230; <a href="http://www.kikwete2010.co.tz/dk-bilal-uso-kwa-uso-na-dk-shein/">Soma Zaidi <span class="meta-nav">&#8594;</span></a>]]></description>
			<content:encoded><![CDATA[<p><a href="http://www.kikwete2010.co.tz/wp-content/uploads/2010/10/1-10.jpg"><img class="alignleft size-full wp-image-2046" title="1-10" src="http://www.kikwete2010.co.tz/wp-content/uploads/2010/10/1-10.jpg" alt="" width="600" height="403" /></a></p>
<p>Mgombea Mwenza wa urais wa CCM, Dk. Mohamed Gharib Bilal (kulia) akisalaimiana na Mgombea urais wa Zanzibar, Dk. Ali Mohamed Shein,  walipokutana uwanja wa Ndege wa Mwalimu Nyerere wa Jijini Dar es Salaam leo mchana wakati Dk. Shein, akiondoka kuelekea Visiwani Zanzibar na Dk. Bilal, akiwasili jijini kutoka Visiwani humo kwa ajili ya kufanya mkutano wa kampeni Okt 27.</p>
<div id="attachment_2047" class="wp-caption alignleft" style="width: 610px"><a href="http://www.kikwete2010.co.tz/wp-content/uploads/2010/10/2-13.jpg"><img class="size-full wp-image-2047" title="2-13" src="http://www.kikwete2010.co.tz/wp-content/uploads/2010/10/2-13.jpg" alt="" width="600" height="403" /></a><p class="wp-caption-text">Mgombea Mwenza wa urais wa CCM, Dk. Mohamed Gharib Bilal (kulia) akisalaimiana na Mgombea urais wa Zanzibar, Dk. Ali Mohamed Shein,  walipokutana uwanja wa Ndege wa Mwalimu Nyerere wa Jijini Dar es Salaam leo mchana wakati Dk. Shein, akiondoka kuelekea Visiwani Zanzibar na Dk. Bilal, akiwasili jijini kutoka Visiwani humo kwa ajili ya kufanya mkutano wa kampeni Okt 27. Kuliani ni mke wa Dk. Bilal, Bi Zakia Bilal.</p></div>
<div id="attachment_2048" class="wp-caption alignleft" style="width: 610px"><a href="http://www.kikwete2010.co.tz/wp-content/uploads/2010/10/4-7.jpg"><img class="size-full wp-image-2048" title="4-7" src="http://www.kikwete2010.co.tz/wp-content/uploads/2010/10/4-7.jpg" alt="" width="600" height="403" /></a><p class="wp-caption-text">Mgombea Mwenza wa urais wa CCM, Dk. Mohamed Gharib Bilal (kulia) akizungumza na Mgombea urais wa Zanzibar, Dk. Ali Mohamed Shein,  walipokutana uwanja wa Ndege wa Mwalimu Nyerere wa Jijini Dar es Salaam leo mchana wakati Dk. Shein, akiondoka kuelekea Visiwani Zanzibar na Dk. Bilal, akiwasili jijini kutoka Visiwani humo kwa ajili ya kufanya mkutano wa kampeni  Okt 27. Kushoto ni mke wa Dk. Shein, Tunu Shein, akizungumza na mke wa Dk. Bilal, Zakia Bilal. </p></div>
<div id="attachment_2049" class="wp-caption alignleft" style="width: 610px"><a href="http://www.kikwete2010.co.tz/wp-content/uploads/2010/10/5-8.jpg"><img class="size-full wp-image-2049" title="5-8" src="http://www.kikwete2010.co.tz/wp-content/uploads/2010/10/5-8.jpg" alt="" width="600" height="403" /></a><p class="wp-caption-text">Mgombea Mwenza wa urais wa CCM, Dk. Mohamed Gharib Bilal (kulia) akizungumza na Mgombea urais wa Zanzibar, Dk. Ali Mohamed Shein,  walipokutana uwanja wa Ndege wa Mwalimu Nyerere wa Jijini Dar es Salaam leo mchana wakati Dk. Shein, akiondoka kuelekea Visiwani Zanzibar na Dk. Bilal, akiwasili jijini kutoka Visiwani humo kwa ajili ya kufanya mkutano wa kampeni Okt 27.</p></div>
]]></content:encoded>
			<wfw:commentRss>http://www.kikwete2010.co.tz/dk-bilal-uso-kwa-uso-na-dk-shein/feed/</wfw:commentRss>
		<slash:comments>0</slash:comments>
		</item>
		<item>
		<title>Dk.Bilal: wana CCM kaombeni kura hata kwa wapinzani</title>
		<link>http://www.kikwete2010.co.tz/dk-bilal-wana-ccm-kaombeni-kura-hata-kwa-wapinzani/</link>
		<comments>http://www.kikwete2010.co.tz/dk-bilal-wana-ccm-kaombeni-kura-hata-kwa-wapinzani/#comments</comments>
		<pubDate>Wed, 27 Oct 2010 07:34:26 +0000</pubDate>
		<dc:creator>admin</dc:creator>
				<category><![CDATA[News Updates]]></category>

		<guid isPermaLink="false">http://www.kikwete2010.co.tz/?p=2039</guid>
		<description><![CDATA[MGOMBEA mwenza wa Chama cha Mapinduzi(CCM),Dk.Mohamed Ghalib Bilal amewataka wananchama wachama hicho waende kwenye nyumba za wanachama wa vyama vya upinzani wakawaombe kura ili CCM iweze kushinda kwa kishindo. Dk.Bilal alitoa rai hiyo jana katika mkutano wake wa kampeni uliofanyika &#8230; <a href="http://www.kikwete2010.co.tz/dk-bilal-wana-ccm-kaombeni-kura-hata-kwa-wapinzani/">Soma Zaidi <span class="meta-nav">&#8594;</span></a>]]></description>
			<content:encoded><![CDATA[<p><a href="http://www.kikwete2010.co.tz/wp-content/uploads/2010/10/bilal_thumb45.jpg"><img class="alignleft size-full wp-image-2040" title="bilal_thumb4" src="http://www.kikwete2010.co.tz/wp-content/uploads/2010/10/bilal_thumb45.jpg" alt="" width="275" height="307" /></a>MGOMBEA mwenza wa Chama cha Mapinduzi(CCM),Dk.Mohamed Ghalib Bilal amewataka wananchama wachama hicho waende kwenye nyumba za wanachama wa vyama vya upinzani wakawaombe kura ili CCM iweze kushinda kwa kishindo.</p>
<p>Dk.Bilal alitoa rai hiyo jana katika mkutano wake wa kampeni uliofanyika katika uwanja wa Dole,jimbo la Dole katika Mkoa wa mjini Magharibi nchini Zanzibar ambapo alisema kwasasa CCM inachotafuta ni ushindi ambao utasababisha iendelee kushika dola.</p>
<p>“Sikilizeni Wanzanzibar wenzangu hadi leo (juzi)nisi ku ya 63 ,mimi nimeishabadilisha vitanda vya kulala vitanda 63 Tanzania Bara na Zanzibar na nimebadilisha vitanda hivyo nikiwa kwenye kampeni za kusaka kura ili chama chetu kishinde …kwahiyo  nanyie wanachama nawaombeni mwende majumbani wanapoishi wapinzani kawaombeni kura naamini watawapa kura kwani tayari baadhi ya wafuasi wa vyama hivyo vya upinzani wamerejea CCM;</p>
<p>“Kama mimi na umri huu nimeweza kuchanja mbuga na kuimaliza mikoa yote ya Tanzania Bara na leo (juzi)nimemaliza kampeni zangu salama hapa Zanzibar…sembuse nyie mtashindwa kupita nyumba wanazoishi wapinzani kwenye maeneo yote na kuwaomba kura?naamini mnaweza’.alisema Dk.Bilal na kushangiliwa.</p>
<p>Aidha alisema nchi inauma hivyo kamwe kukubali kuikabidhi  nchi iongozwe na viongozi ambao wa fahamika wanahistoria ya kutoipenda Zanzibar  na kuongeza kuwa nakuongeza kuwa CCM itakuwa juu ya watu wachache wenye chuki na nchi ya Zanzibar.</p>
<p>Kwa upande wake Waziri Kiongozi wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar ,Shams Vuai Nahodha na Mjumbe wa Kamati ua Utekelezaji wa UVCCM-Tanzania Bara, Ridhiwan Kikwete ambao walipata fursa ya kuudhulia mkutano huo, waliwakumbusha wananchi wote siku ya Jumapili kuakikisha wanaenda kukipigia kura chama hichio kwa amani na utulivu.</p>
]]></content:encoded>
			<wfw:commentRss>http://www.kikwete2010.co.tz/dk-bilal-wana-ccm-kaombeni-kura-hata-kwa-wapinzani/feed/</wfw:commentRss>
		<slash:comments>0</slash:comments>
		</item>
		<item>
		<title>Mkutano wa Kampeni Nyamagana: Umati mkubwa wafurika kumsikiliza JK</title>
		<link>http://www.kikwete2010.co.tz/mkutano-wa-kampeni-nyamagana-umati-mkubwa-wafurika-kumsikiliza-jk/</link>
		<comments>http://www.kikwete2010.co.tz/mkutano-wa-kampeni-nyamagana-umati-mkubwa-wafurika-kumsikiliza-jk/#comments</comments>
		<pubDate>Wed, 27 Oct 2010 07:14:10 +0000</pubDate>
		<dc:creator>admin</dc:creator>
				<category><![CDATA[News Updates]]></category>

		<guid isPermaLink="false">http://www.kikwete2010.co.tz/?p=2034</guid>
		<description><![CDATA[Mapokezi makubwa yamemkaribisha Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete mgombea urais wa Tanzania kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi jimbo la Nyamagana mkoani Mwanza jioni hii. Kwenye mkutano wake wa kampeni Mheshimiwa Kikwete alisema CCM ni chama kinachohubiri amani, utulivu na mshikamano &#8230; <a href="http://www.kikwete2010.co.tz/mkutano-wa-kampeni-nyamagana-umati-mkubwa-wafurika-kumsikiliza-jk/">Soma Zaidi <span class="meta-nav">&#8594;</span></a>]]></description>
			<content:encoded><![CDATA[<p><a href="http://www.kikwete2010.co.tz/wp-content/uploads/2010/10/IMG_1281.jpg"><img class="alignleft size-full wp-image-2035" title="JK_Nyamagana" src="http://www.kikwete2010.co.tz/wp-content/uploads/2010/10/IMG_1281.jpg" alt="" width="600" height="399" /></a><br />
Mapokezi makubwa yamemkaribisha Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete mgombea urais wa Tanzania kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi jimbo la Nyamagana mkoani Mwanza jioni hii.</p>
<p>Kwenye mkutano wake wa kampeni Mheshimiwa Kikwete alisema CCM ni chama kinachohubiri amani, utulivu na mshikamano na sio chuki na kupigana vita. Hivyo Watanzania wawape nafasi ya kuendelea kuongoza nchi kwa awamu nyingine tena. Alibeza vyama vya siasa vilivyoshindwa kuelezea sera zao na kuhubiri chuki au kutangaza vita.</p>
<p>&#8220;Siasa ni ushindani wa sera na mipango ya maendeleo na sio kushindana kurusha mawe na kutupiana matusi kwenye majukwaa&#8221; Alisema Mheshimiwa Kikwete huku akishangiliwa na umati mkubwa wa wana Nyamagana waliofurika kwenye uwanja wa Sahara Kata ya Pamba, jimbo la Nyamagana.</p>
<p>Mheshimiwa Kikwete aliyetokea Chato mkoani Kagera, alielezea jitihada za CCM za kuleta maisha bora kwa kila Mtanzania kwa kuboresha huduma za jamii. Alielezea mpango mkubwa wa kusaidia vijiji kumi na mbili vya wilaya hii ya Nyamagana kupata maji safi na salama, unaofadhiliwa na benki ya dunia.</p>
<p>&#8220;Miji na Vijiji kumi na nane vitapatiwa umeme katika mkoa huu wa Mwanza ikiwemo Nyamagana na Ukerewe&#8221; alieleza Mheshimiwa Kikwete wakati akielezea mpango mkubwa wa kuboresha huduma ya umeme.</p>
<p>Huduma nyingine alizozitolea ufafanuzi ni ile ya ujenzi wa barabara, kilimo kwanza ili kuendeleza wakulima na wafugaji, upanuzi mkubwa wa elimu n.k.</p>
<p>Kabla ya kuhutubia mkutano huo mkubwa wa kampeni, mgombea ubunge wa Jimbo la Nyamagana Mheshimiwa Lawrence Kego Masha aliwahimiza wananchi hao kuwa makini na vyama ambavyo havitawaletea maendeleo na kuwasihi wachague CCM.</p>
]]></content:encoded>
			<wfw:commentRss>http://www.kikwete2010.co.tz/mkutano-wa-kampeni-nyamagana-umati-mkubwa-wafurika-kumsikiliza-jk/feed/</wfw:commentRss>
		<slash:comments>0</slash:comments>
		</item>
		<item>
		<title>DK BILAL AUNGURUMA JIMBO LA DOLE LEO</title>
		<link>http://www.kikwete2010.co.tz/dk-bilal-aunguruma-jimbo-la-dole-leo/</link>
		<comments>http://www.kikwete2010.co.tz/dk-bilal-aunguruma-jimbo-la-dole-leo/#comments</comments>
		<pubDate>Wed, 27 Oct 2010 07:04:22 +0000</pubDate>
		<dc:creator>admin</dc:creator>
				<category><![CDATA[News Updates]]></category>

		<guid isPermaLink="false">http://www.kikwete2010.co.tz/?p=2029</guid>
		<description><![CDATA[Wanachama na wananchi wa Wialaya ya Magharibi Mkoa  Mjini Magharibi, wakimsikiliza  mgombea mwenza wa urais wa CCM, Dk. Mohamed Gharib Bilal, wakati alipokuwa akiwahutubia katika mkutano wa kampeni uliofanyika kwenye uwanja wa Dole Zanzibar  Okt 26.]]></description>
			<content:encoded><![CDATA[<p><a href="http://www.kikwete2010.co.tz/wp-content/uploads/2010/10/2-12.jpg"><img class="alignleft size-full wp-image-2030" title="2-12" src="http://www.kikwete2010.co.tz/wp-content/uploads/2010/10/2-12.jpg" alt="" width="600" height="403" /></a></p>
<p>Wanachama na wananchi wa Wialaya ya Magharibi Mkoa  Mjini Magharibi, wakimsikiliza  mgombea mwenza wa urais wa CCM, Dk. Mohamed Gharib Bilal, wakati alipokuwa akiwahutubia katika mkutano wa kampeni uliofanyika kwenye uwanja wa Dole Zanzibar  Okt 26.</p>
<div id="attachment_2031" class="wp-caption alignleft" style="width: 610px"><a href="http://www.kikwete2010.co.tz/wp-content/uploads/2010/10/8-4.jpg"><img class="size-full wp-image-2031" title="8-4" src="http://www.kikwete2010.co.tz/wp-content/uploads/2010/10/8-4.jpg" alt="" width="600" height="403" /></a><p class="wp-caption-text">Mgombea Mwenza wa Urais wa CCM, DK. Mohamed Gharib Bilal, akiwahutubia wananchi wa Wilaya ya Magharib, Mkoa wa Mjini Magharibi, wakati alipofanya mkutano wa kampeni kwenye Uwanja  wa Dole Zanzibar  Okt 26.</p></div>
<div id="attachment_2032" class="wp-caption alignleft" style="width: 610px"><a href="http://www.kikwete2010.co.tz/wp-content/uploads/2010/10/6-6.jpg"><img class="size-full wp-image-2032" title="6-6" src="http://www.kikwete2010.co.tz/wp-content/uploads/2010/10/6-6.jpg" alt="" width="600" height="894" /></a><p class="wp-caption-text">Shabiki wa CCM, akishangilia huku akiwa na bango lenye picha ya Dk. Bilal ya ujana wake, wakati wa mkutano wa kampeni wa mgombea mwenza wa urais wa CCM, Dk. Mohamed Gharib Bilal, uliofanyika kwenye Uwanja wa Dole Mkoa wa Mjini Magharibi katika Jimbo la Dole Wilaya ya Magharibi Okt 26.</p></div>
]]></content:encoded>
			<wfw:commentRss>http://www.kikwete2010.co.tz/dk-bilal-aunguruma-jimbo-la-dole-leo/feed/</wfw:commentRss>
		<slash:comments>0</slash:comments>
		</item>
		<item>
		<title>MGOMBEA URAIS KWA TIKETI YA CCM RAIS KIKWETE ZIARANI KARATU</title>
		<link>http://www.kikwete2010.co.tz/mgombea-urais-kwa-tiketi-ya-ccm-rais-kikwete-ziarani-karatu/</link>
		<comments>http://www.kikwete2010.co.tz/mgombea-urais-kwa-tiketi-ya-ccm-rais-kikwete-ziarani-karatu/#comments</comments>
		<pubDate>Mon, 25 Oct 2010 10:15:50 +0000</pubDate>
		<dc:creator>admin</dc:creator>
				<category><![CDATA[News Updates]]></category>

		<guid isPermaLink="false">http://www.kikwete2010.co.tz/?p=2015</guid>
		<description><![CDATA[Maelfu ya wananchi wa Karatu wakifurika kwenye mkutano wa kampeni uliokuwa unahutubiwa na Mgombea Urais kupitia Chama Cha Mapinduzi Mheshimiwa Jakaya Kikwete mjini Karatu tarehe 24.10.2010.]]></description>
			<content:encoded><![CDATA[<p><a href="http://www.kikwete2010.co.tz/wp-content/uploads/2010/10/Karatu-9.jpg"><img class="alignleft size-full wp-image-2016" title="Karatu-(9)" src="http://www.kikwete2010.co.tz/wp-content/uploads/2010/10/Karatu-9.jpg" alt="" width="600" height="322" /></a></p>
<p>Maelfu ya wananchi wa Karatu wakifurika kwenye mkutano wa kampeni uliokuwa unahutubiwa na Mgombea Urais kupitia Chama Cha Mapinduzi Mheshimiwa Jakaya Kikwete mjini Karatu tarehe 24.10.2010.</p>
<div id="attachment_2017" class="wp-caption alignleft" style="width: 610px"><a href="http://www.kikwete2010.co.tz/wp-content/uploads/2010/10/Karatu-22.jpg"><img class="size-full wp-image-2017" title="Karatu-(22)" src="http://www.kikwete2010.co.tz/wp-content/uploads/2010/10/Karatu-22.jpg" alt="" width="600" height="265" /></a><p class="wp-caption-text">Mgombea Urais kupitia Chama Cha Mapinduzi Mheshimiwa Jakaya Kikwete akiwasiri kwenye mkutano wa kampeni mjini Karatu huku akipokewa na kushangiliwa na maelfu ya wananchi wa mji huo tarehe 24.10.2010.</p></div>
<div id="attachment_2019" class="wp-caption alignleft" style="width: 610px"><a href="http://www.kikwete2010.co.tz/wp-content/uploads/2010/10/Karatu-136.jpg"><img class="size-full wp-image-2019" title="Karatu-(136)" src="http://www.kikwete2010.co.tz/wp-content/uploads/2010/10/Karatu-136.jpg" alt="" width="600" height="390" /></a><p class="wp-caption-text">Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi Mheshimiwa Jakaya Kikwete akimwombea kura mgombea ubunge wa jimbo la Karatu Dr. Wilbard Lori wakati wa mkutano wa kampeni uliofanyika mjini Karatu tarehe 24.10.2010.</p></div>
<div id="attachment_2020" class="wp-caption alignleft" style="width: 610px"><a href="http://www.kikwete2010.co.tz/wp-content/uploads/2010/10/Karatu-169.jpg"><img class="size-full wp-image-2020" title="Karatu-(169)" src="http://www.kikwete2010.co.tz/wp-content/uploads/2010/10/Karatu-169.jpg" alt="" width="600" height="302" /></a><p class="wp-caption-text">Wasichana wawili waishio katika mji wa Karatu ambao majina yao hayakuweza kupatikana mara moja wanaonekana kuchora nyuso zao jina la Mgombea Urais kupitia CCM Mheshimiwa Kikwete wakati wa mkutano wa kampeni mjini Karatu tarehe 24.10.2010.</p></div>
<div id="attachment_2021" class="wp-caption alignleft" style="width: 610px"><a href="http://www.kikwete2010.co.tz/wp-content/uploads/2010/10/Karatu-146.jpg"><img class="size-full wp-image-2021" title="Karatu-(146)" src="http://www.kikwete2010.co.tz/wp-content/uploads/2010/10/Karatu-146.jpg" alt="" width="600" height="388" /></a><p class="wp-caption-text">Wasichana wawili waishio katika mji wa Karatu ambao majina yao hayakuweza kupatikana mara moja wanaonekana kuchora nyuso zao jina la Mgombea Urais kupitia CCM Mheshimiwa Kikwete wakati wa mkutano wa kampeni mjini Karatu tarehe 24.10.2010.</p></div>
]]></content:encoded>
			<wfw:commentRss>http://www.kikwete2010.co.tz/mgombea-urais-kwa-tiketi-ya-ccm-rais-kikwete-ziarani-karatu/feed/</wfw:commentRss>
		<slash:comments>0</slash:comments>
		</item>
		<item>
		<title>Kikwete aiteka Karatu, Maelfu wafurika mkutano wake wa kampeni</title>
		<link>http://www.kikwete2010.co.tz/kikwete-aiteka-karatu-maelfu-wafurika-mkutano-wake-wa-kampeni/</link>
		<comments>http://www.kikwete2010.co.tz/kikwete-aiteka-karatu-maelfu-wafurika-mkutano-wake-wa-kampeni/#comments</comments>
		<pubDate>Mon, 25 Oct 2010 04:19:50 +0000</pubDate>
		<dc:creator>admin</dc:creator>
				<category><![CDATA[News Updates]]></category>

		<guid isPermaLink="false">http://www.kikwete2010.co.tz/?p=1998</guid>
		<description><![CDATA[Maelfu ya wananchi wa Jimbo la Karatu na vitongoji vyake wamefurika kwenye mkutano wa kampeni wa Mgombea Urais wa Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete leo jioni hii. Mkutano huo uliofanyika kwenye uwanja wa michezo Karatu mjini &#8230; <a href="http://www.kikwete2010.co.tz/kikwete-aiteka-karatu-maelfu-wafurika-mkutano-wake-wa-kampeni/">Soma Zaidi <span class="meta-nav">&#8594;</span></a>]]></description>
			<content:encoded><![CDATA[<div><a href="http://www.kikwete2010.co.tz/wp-content/uploads/2010/10/JK_thumb33.jpg"><img class="alignleft size-full wp-image-1999" title="JK_thumb3" src="http://www.kikwete2010.co.tz/wp-content/uploads/2010/10/JK_thumb33.jpg" alt="" width="150" height="131" /></a>Maelfu ya wananchi wa Jimbo la Karatu na vitongoji vyake wamefurika kwenye mkutano wa kampeni wa Mgombea Urais wa Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete leo jioni hii.</p>
<p>Mkutano huo uliofanyika kwenye uwanja wa michezo Karatu mjini ulifurika wana CCM na wananchi waliokuwa na hamasa kubwa ya kumsikiliza Mheshimiwa Kikwete.</p>
<p>Umati huo kwa ujumla wake ulimueleza Mheshimiwa Kikwete kwamba wananchi wa Karatu wamechoshwa na sera za upinzani ambazo zimeshindwa kuleta maendeleo kwa miaka mingi.</p>
<p>Akiwauliza wananchi hao iwapo wako tayari kuipigia kura CCM na madiwani wake na mbunge, wananchi wao kwa ujumla wao wote walinyanyua mikono na kuonyesha ishara ya kuikubali CCM na kuwa wataipa kura zote.<br />
Mkutano huo uliochangamka na uliokuwa na shamrashamra nyingi, ulihudhuriwa pia na Waziri Mkuu Mstaafu Fredrick Sumai ambaye aliwasalimu wananchi na kuwaomba wachague CCm kwa maendeleo ya kweli.<br />
Mkutano huu ni wa mwisho kwa siku ya leo ambapo Mheshimiwa Kikwete alianzia Kibaya na Matui Mkoani Manyara.</p>
<p>Baada ya Matui, msafara wa Mheshimiwa Kikwete ulielekea  Olkesumet na Mang&#8217;ola, kabla ya kuingia hapa Karatu mkoani Arusha.</p>
</div>
]]></content:encoded>
			<wfw:commentRss>http://www.kikwete2010.co.tz/kikwete-aiteka-karatu-maelfu-wafurika-mkutano-wake-wa-kampeni/feed/</wfw:commentRss>
		<slash:comments>0</slash:comments>
		</item>
		<item>
		<title>Mkutano wa Kampeni Malinyi: Kamanda wa UVCCM Njayaga Apiga Goti Kuombea CCM kura</title>
		<link>http://www.kikwete2010.co.tz/mkutano-wa-kampeni-malinyi-kamanda-wa-uvccm-njayaga-apiga-goti-kuombea-ccm-kura/</link>
		<comments>http://www.kikwete2010.co.tz/mkutano-wa-kampeni-malinyi-kamanda-wa-uvccm-njayaga-apiga-goti-kuombea-ccm-kura/#comments</comments>
		<pubDate>Sun, 24 Oct 2010 17:22:08 +0000</pubDate>
		<dc:creator>admin</dc:creator>
				<category><![CDATA[News Updates]]></category>

		<guid isPermaLink="false">http://www.kikwete2010.co.tz/?p=2004</guid>
		<description><![CDATA[Aliyekuwa mshindi wa pili kwenye kura za maoni za ndani ya Chama Cha Mapinduzi Jimbo la Ulanga Magharibi Ndugu Yasin Njayaga na Kamanda wa UVCCM na mdau mkubwa wa CCM ameomba kura zote kwa CCM kwa staili ya kupiga magoti kwenye mkutano wa &#8230; <a href="http://www.kikwete2010.co.tz/mkutano-wa-kampeni-malinyi-kamanda-wa-uvccm-njayaga-apiga-goti-kuombea-ccm-kura/">Soma Zaidi <span class="meta-nav">&#8594;</span></a>]]></description>
			<content:encoded><![CDATA[<p><a href="http://www.kikwete2010.co.tz/wp-content/uploads/2010/10/JK_thumb4.jpg"><img class="alignleft size-full wp-image-2005" title="JK_thumb" src="http://www.kikwete2010.co.tz/wp-content/uploads/2010/10/JK_thumb4.jpg" alt="" width="150" height="134" /></a>Aliyekuwa mshindi wa pili kwenye kura za maoni za ndani ya Chama Cha Mapinduzi Jimbo la Ulanga Magharibi Ndugu Yasin Njayaga na Kamanda wa UVCCM na mdau mkubwa wa CCM ameomba kura zote kwa CCM kwa staili ya kupiga magoti kwenye mkutano wa kampeni Malinyi.</p>
<p>Aliomba kura hizo wakati wa mkutano mkubwa wa kampeni wa Mwenyekiti wa CCM Taifa na Mgombea Urais kupitia Chama Cha Mapinduzi Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete alipokuwa jimboni hapo leo mchana.</p>
<p>Wengine walioshiriki kwenye kinyang&#8217;anyiro hicho cha kura za maoni Ulanga Magharibi ni Dkt. Juma Ngasongwa, Eng. Simon Ngonyani na Dkt. Haji Mponda ambaye aliibuka mshindi, walisisitiza umuhimu wa kuunganisha nguvu na kushikamana ili kukipatia Chama Cha Mapinduzi ushindi wa kishindo.</p>
<p>Kwenye hotuba yake ya kampeni hapa Malinyi, naye Mheshimiwa Kikwete alielezea azma ya CCM kutatua tatizo la upatikanaji wa huduma muhimu za maji, umeme na barabara katika eneo hili la Ulanga.</p>
<p>Alisema miradi imeshaanza ya kutandaza mabomba kwa ajili ya usambazaji wa maji kwa msaada wa Benki ya Dunia. Alizungumzia pia daraja la Mto Kilombero ambalo ujenzi wake utaanza hivi karibuni ambao utaruhusu pia barabara ya lami kujengwa.</p>
<p>Mwishoni Mhemiwa Kikwete alichukua nafasi ya mkutano huo kuwanadi wagombea udiwani wa kata zote za Ulanga, na mgombea Musa alizungumza kwa uchache kwa niaba ya wagombea wengine wote. Na baadaye mgombea ubunge nae aliwasihi wana Ulanga kuchagua CCM kwa mafiga matatu.</p>
]]></content:encoded>
			<wfw:commentRss>http://www.kikwete2010.co.tz/mkutano-wa-kampeni-malinyi-kamanda-wa-uvccm-njayaga-apiga-goti-kuombea-ccm-kura/feed/</wfw:commentRss>
		<slash:comments>0</slash:comments>
		</item>
		<item>
		<title>DK. BILAL AFUNIKA PEMBA</title>
		<link>http://www.kikwete2010.co.tz/dk-bilal-afunika-pemba/</link>
		<comments>http://www.kikwete2010.co.tz/dk-bilal-afunika-pemba/#comments</comments>
		<pubDate>Sun, 24 Oct 2010 14:33:09 +0000</pubDate>
		<dc:creator>admin</dc:creator>
				<category><![CDATA[News Updates]]></category>

		<guid isPermaLink="false">http://www.kikwete2010.co.tz/?p=1992</guid>
		<description><![CDATA[Mgombea mwenza wa urais wa CCM, Dk. Mohamed Gharib Bilal, akisalimiana na aliyekuwa Katibu wa Kamati ya Ulinzi na Usalama wa CUF, Juma Othman Juma, aliyejiengua katika chama hicho na kujiunga na CCM, hivi karibuni  wakati alipowasili kwenye uwanja wa &#8230; <a href="http://www.kikwete2010.co.tz/dk-bilal-afunika-pemba/">Soma Zaidi <span class="meta-nav">&#8594;</span></a>]]></description>
			<content:encoded><![CDATA[<p><a href="http://www.kikwete2010.co.tz/wp-content/uploads/2010/10/001-4.jpg"><img class="alignleft size-full wp-image-1993" title="001-4" src="http://www.kikwete2010.co.tz/wp-content/uploads/2010/10/001-4.jpg" alt="" width="600" height="403" /></a></p>
<p>Mgombea mwenza wa urais wa CCM, Dk. Mohamed Gharib Bilal, akisalimiana na aliyekuwa Katibu wa Kamati ya Ulinzi na Usalama wa CUF, Juma Othman Juma, aliyejiengua katika chama hicho na kujiunga na CCM, hivi karibuni  wakati alipowasili kwenye uwanja wa Shule ya Kizimbani Jimbo la Gando Wilaya ya Wete, Mkoa wa Kaskazini Pemba, Okt 24 kufanya mkutano wa kampeni.</p>
<div id="attachment_1994" class="wp-caption alignleft" style="width: 610px"><a href="http://www.kikwete2010.co.tz/wp-content/uploads/2010/10/003-3.jpg"><img class="size-full wp-image-1994" title="003-3" src="http://www.kikwete2010.co.tz/wp-content/uploads/2010/10/003-3.jpg" alt="" width="600" height="403" /></a><p class="wp-caption-text"> Wanachama wa CCM na wananchi wa Jimbo la Gando Wilaya ya Wete Mkoa wa Kaskazini Pemba, wakimsikiliza mgombea mwenza wa urais wa CCM, Dk. Mohamed Gharib Bilal, wakati alipofanya mkutano wa kampeni kwenye Uwanja wa Shule ya Kizimbani, Okt 24. </p></div>
<div id="attachment_1995" class="wp-caption alignleft" style="width: 610px"><a href="http://www.kikwete2010.co.tz/wp-content/uploads/2010/10/004-3.jpg"><img class="size-full wp-image-1995" title="004-3" src="http://www.kikwete2010.co.tz/wp-content/uploads/2010/10/004-3.jpg" alt="" width="600" height="403" /></a><p class="wp-caption-text">Aliyekuwa Katibu wa Kamati ya Ulinzi na Usalama wa CUF, Juma Othman Juma, akizungumza jukwaani wakati alipoalikwa kusalimia wananchi wa Jimbo la Gando, wakati wa mkutano wa kampeni wa mgombea Mwenza wa urais wa CCM, DK. Mohamed Gharib Bilal, alipofanya mkutano wa kampeni kwenye Uwanja wa Shule ya Kizimbani Okt 24. </p></div>
<div id="attachment_1996" class="wp-caption alignleft" style="width: 610px"><a href="http://www.kikwete2010.co.tz/wp-content/uploads/2010/10/005-3.jpg"><img class="size-full wp-image-1996" title="005-3" src="http://www.kikwete2010.co.tz/wp-content/uploads/2010/10/005-3.jpg" alt="" width="600" height="403" /></a><p class="wp-caption-text">Mgombea Mwenza wa urais wa CCM, Dk. Mohamed Gharib Bilal, akiwahutubia wanachama  wa CCM  na wananchi wa Jimbo la Gando Wilaya ya Wete Mkoa wa Kaskazini Pemba, wakati alipofanya mkutano wa kampeni katika jimbo hilo okt 24. </p></div>
]]></content:encoded>
			<wfw:commentRss>http://www.kikwete2010.co.tz/dk-bilal-afunika-pemba/feed/</wfw:commentRss>
		<slash:comments>0</slash:comments>
		</item>
		<item>
		<title>DK Bilal yupo Kahama</title>
		<link>http://www.kikwete2010.co.tz/dk-bilal-yupo-kahama/</link>
		<comments>http://www.kikwete2010.co.tz/dk-bilal-yupo-kahama/#comments</comments>
		<pubDate>Sun, 24 Oct 2010 08:45:41 +0000</pubDate>
		<dc:creator>admin</dc:creator>
				<category><![CDATA[News Updates]]></category>

		<guid isPermaLink="false">http://www.kikwete2010.co.tz/?p=1988</guid>
		<description><![CDATA[Mgombea Mwenza wa nafasi ya urais kupitia CCM, amemaliza kazi ya kampeni mkoani Shinyanga jana na kupumzika mjini Kahama. Leo asubuhi anatarajiwa kuanza safari kuwahi mkutano wa kampeni unaotarajiwa kuwa mkubwa na wa kihistoria kisiwani Pemba. Akiwa mkoani hapa, mgombea &#8230; <a href="http://www.kikwete2010.co.tz/dk-bilal-yupo-kahama/">Soma Zaidi <span class="meta-nav">&#8594;</span></a>]]></description>
			<content:encoded><![CDATA[<p><a href="http://www.kikwete2010.co.tz/wp-content/uploads/2010/10/bilal_thumb44.jpg"><img class="alignleft size-full wp-image-1989" title="bilal_thumb4" src="http://www.kikwete2010.co.tz/wp-content/uploads/2010/10/bilal_thumb44.jpg" alt="" width="205" height="230" /></a>Mgombea Mwenza wa nafasi ya urais kupitia CCM, amemaliza kazi ya kampeni mkoani Shinyanga jana na kupumzika mjini Kahama. Leo asubuhi anatarajiwa kuanza safari kuwahi mkutano wa kampeni unaotarajiwa kuwa mkubwa na wa kihistoria kisiwani Pemba. Akiwa mkoani hapa, mgombea mwenza alizidi kusisitiza juu ya utunzaji amani kwa kuwa kutokufanya hivyo ni kuliingiza taifa katika historia mbaya na akasema ole wao wahuni wachache wanaotumia uchaguzi mkuu kama kigezo cha kuchanganya taifa.</p>
]]></content:encoded>
			<wfw:commentRss>http://www.kikwete2010.co.tz/dk-bilal-yupo-kahama/feed/</wfw:commentRss>
		<slash:comments>0</slash:comments>
		</item>
		<item>
		<title>DK. BILAL AUNGURUMA MASWA MAGH-SHINYANGA</title>
		<link>http://www.kikwete2010.co.tz/dk-bilal-aunguruma-maswa-magh-shinyanga/</link>
		<comments>http://www.kikwete2010.co.tz/dk-bilal-aunguruma-maswa-magh-shinyanga/#comments</comments>
		<pubDate>Sun, 24 Oct 2010 08:42:50 +0000</pubDate>
		<dc:creator>admin</dc:creator>
				<category><![CDATA[News Updates]]></category>

		<guid isPermaLink="false">http://www.kikwete2010.co.tz/?p=1979</guid>
		<description><![CDATA[Mgombea mwenza wa urais wa CCM, Dk. Mohamed Gharib Bilal, akipunga mkono kuwasalimia wananchi wa Kijiji cha Masai Kata ya Seng’wa Wilaya ta Maswa Mkoa wa Shinyanga, wakati alipowasili kijijini hapo leo mchana kwa ajili ya kufanya mkutano wa kampeni &#8230; <a href="http://www.kikwete2010.co.tz/dk-bilal-aunguruma-maswa-magh-shinyanga/">Soma Zaidi <span class="meta-nav">&#8594;</span></a>]]></description>
			<content:encoded><![CDATA[<p><a href="http://www.kikwete2010.co.tz/wp-content/uploads/2010/10/01-9.jpg"><img class="alignleft size-full wp-image-1980" title="01-9" src="http://www.kikwete2010.co.tz/wp-content/uploads/2010/10/01-9.jpg" alt="" width="600" height="403" /></a></p>
<p>Mgombea mwenza wa urais wa CCM, Dk. Mohamed Gharib Bilal, akipunga mkono kuwasalimia wananchi wa Kijiji cha Masai Kata ya Seng’wa Wilaya ta Maswa Mkoa wa Shinyanga, wakati alipowasili kijijini hapo leo mchana kwa ajili ya kufanya mkutano wa kampeni na kumnadi mgombea Ubunge wa Jimbo hilo, Robrt Simon Kasena Okt 23.</p>
<div id="attachment_1982" class="wp-caption alignleft" style="width: 610px"><a href="http://www.kikwete2010.co.tz/wp-content/uploads/2010/10/2-101.jpg"><img class="size-full wp-image-1982" title="2-10" src="http://www.kikwete2010.co.tz/wp-content/uploads/2010/10/2-101.jpg" alt="" width="600" height="389" /></a><p class="wp-caption-text">Wasanii wa kikundi cha ngoma ya asili cha Bugayangi cha Kijiji cha Ngongo Wilaya ya Maswa, wakicheza na nyoka wakati wa mapokezi ya mgombea mwenza wa urais wa CCM Dk. Mohamed Gharib Bilal, alipokuwa akiwasili katika kijiji cha Masai kufanya mkutano wa kampeni Okt 23.</p></div>
<div id="attachment_1984" class="wp-caption alignleft" style="width: 610px"><a href="http://www.kikwete2010.co.tz/wp-content/uploads/2010/10/4-61.jpg"><img class="size-full wp-image-1984" title="4-6" src="http://www.kikwete2010.co.tz/wp-content/uploads/2010/10/4-61.jpg" alt="" width="600" height="403" /></a><p class="wp-caption-text">Msanii wa Kikundi cha Ngoma ya asili cha Bugayangi , Kilole Delema, akionyesha umahiri wake wa kucheza na nyoka wakati wa mapokezi ya mgombea mwenza wa urais wa CCM, Dk Mohamed Gharib Bilal, alipokuwa akiwasili kijiji cha Masai kufanya mkutano wa kampeni Okt 23.</p></div>
<div id="attachment_1985" class="wp-caption alignleft" style="width: 610px"><a href="http://www.kikwete2010.co.tz/wp-content/uploads/2010/10/6-5.jpg"><img class="size-full wp-image-1985" title="6-5" src="http://www.kikwete2010.co.tz/wp-content/uploads/2010/10/6-5.jpg" alt="" width="600" height="894" /></a><p class="wp-caption-text">Mgombea mwenza wa urais wa CCM, Dk. Mohamed Gharib Bilal, aimshikia kipaza sauti na kumuombea kura mgombea udiwani wa Kata ya Seng’wa Jimbo la Maswa Magharibi, Elizabeth Sangalali, ambaye anasumbuliwa na maradhi, wakati alipofanya mkutano wa kampeni katika Kijiji cha Masai Okt 23.</p></div>
]]></content:encoded>
			<wfw:commentRss>http://www.kikwete2010.co.tz/dk-bilal-aunguruma-maswa-magh-shinyanga/feed/</wfw:commentRss>
		<slash:comments>0</slash:comments>
		</item>
		<item>
		<title>Dk Bilal aingia Shinyanga</title>
		<link>http://www.kikwete2010.co.tz/dk-bilal-aingia-shinyanga/</link>
		<comments>http://www.kikwete2010.co.tz/dk-bilal-aingia-shinyanga/#comments</comments>
		<pubDate>Sun, 24 Oct 2010 08:27:44 +0000</pubDate>
		<dc:creator>admin</dc:creator>
				<category><![CDATA[News Updates]]></category>

		<guid isPermaLink="false">http://www.kikwete2010.co.tz/?p=1974</guid>
		<description><![CDATA[Dk Mohamed Gharib Bilal sasa ameingia mkoani Shinyanga. Kufika kwake Shinyanga kunamaanisha kumaliza mikoa yote ya Tanzania Bara. Ni wazi kuwa Dk Bilal amefanya kampeni kwa barabara na amefanikiwa kupita mipaka yote ya Tanzania huku akiwa katembea umbali wa zaidi &#8230; <a href="http://www.kikwete2010.co.tz/dk-bilal-aingia-shinyanga/">Soma Zaidi <span class="meta-nav">&#8594;</span></a>]]></description>
			<content:encoded><![CDATA[<p><a href="http://www.kikwete2010.co.tz/wp-content/uploads/2010/10/bilal_thumb43.jpg"><img class="alignleft size-full wp-image-1976" title="DK_Bilal" src="http://www.kikwete2010.co.tz/wp-content/uploads/2010/10/bilal_thumb43.jpg" alt="" width="275" height="307" /></a>Dk Mohamed Gharib Bilal sasa ameingia mkoani Shinyanga. Kufika kwake Shinyanga kunamaanisha kumaliza mikoa yote ya Tanzania Bara. Ni wazi kuwa Dk Bilal amefanya kampeni kwa barabara na amefanikiwa kupita mipaka yote ya Tanzania huku akiwa katembea umbali wa zaidi ya kilometa 40,000.</p>
<p>“Yapo mabadiliko makubwa kwa Dk Bilal tangu anaanza kampeni hadi sasa. Siku zinavyozidi kuongezeka anaonekana kumudu sana jukwaa, hali inayotoa picha kuwa atakuwa mwanasiasa mzuri sana ambaye ni kunganishi kwa Tanzania nzima,” alisema mmoja wa wasaidizi wake anayeambatana naye katika msafara huo.</p>
<p>Katika mikutano yake mkoani Mwanza, Dk Bilal alikumbusha juu ya umuhimu wa kutunza amani na akaonya tabia ya wafuasi wa Chadema kushambulia watu hasa wafuasi wa CCM. “Hii ni tabia mbaya, haipaswi kuachwa, tutaidhibiti tu,” alisema.</p>
]]></content:encoded>
			<wfw:commentRss>http://www.kikwete2010.co.tz/dk-bilal-aingia-shinyanga/feed/</wfw:commentRss>
		<slash:comments>0</slash:comments>
		</item>
		<item>
		<title>DK. BILAL ALIVYOMALIZIA ZIARA YAKE YA KAMPENI MWANZA</title>
		<link>http://www.kikwete2010.co.tz/dk-bilal-alivyomalizia-ziara-yake-ya-kampeni-mwanza/</link>
		<comments>http://www.kikwete2010.co.tz/dk-bilal-alivyomalizia-ziara-yake-ya-kampeni-mwanza/#comments</comments>
		<pubDate>Sun, 24 Oct 2010 08:26:17 +0000</pubDate>
		<dc:creator>admin</dc:creator>
				<category><![CDATA[News Updates]]></category>

		<guid isPermaLink="false">http://www.kikwete2010.co.tz/?p=1969</guid>
		<description><![CDATA[Wasanii wa kikundi cha Ngoma za asili za Kabila la Wasukuma, wakicheza ngoma hiyo wakati  wa mapokezi  ya mgombea mwenza wa urais wa CCM, Dk. Mohamed Gharib Bilal, alipokuwa akiwasili kwenye uwanja wa Soko la zamani la Misungwi Mkowani Mwanza &#8230; <a href="http://www.kikwete2010.co.tz/dk-bilal-alivyomalizia-ziara-yake-ya-kampeni-mwanza/">Soma Zaidi <span class="meta-nav">&#8594;</span></a>]]></description>
			<content:encoded><![CDATA[<p><a href="http://www.kikwete2010.co.tz/wp-content/uploads/2010/10/002-2.jpg"><img class="alignleft size-full wp-image-1970" title="002-2" src="http://www.kikwete2010.co.tz/wp-content/uploads/2010/10/002-2.jpg" alt="" width="600" height="403" /></a></p>
<p>Wasanii wa kikundi cha Ngoma za asili za Kabila la Wasukuma, wakicheza ngoma hiyo wakati  wa mapokezi  ya mgombea mwenza wa urais wa CCM, Dk. Mohamed Gharib Bilal, alipokuwa akiwasili kwenye uwanja wa Soko la zamani la Misungwi Mkowani Mwanza Okt 22 kufanya mkutano wa kampeni.</p>
<div id="attachment_1971" class="wp-caption alignleft" style="width: 610px"><a href="http://www.kikwete2010.co.tz/wp-content/uploads/2010/10/004-2.jpg"><img class="size-full wp-image-1971" title="004-2" src="http://www.kikwete2010.co.tz/wp-content/uploads/2010/10/004-2.jpg" alt="" width="600" height="403" /></a><p class="wp-caption-text">Mgombea Mwenza wa urais wa CCM, Dk. Mohamed Gharib Bilal, akiwahutubia wananchi wa Jimbo la Misungwi, wakati alipofanya mkutano wa kampeni katika uwanja wa Soko la zamani la Misungwi Okt 22 na kumnadi mgombea ubunge wa jimbo hilo, Charles Kitwanga. </p></div>
<div id="attachment_1972" class="wp-caption alignleft" style="width: 610px"><a href="http://www.kikwete2010.co.tz/wp-content/uploads/2010/10/005-2.jpg"><img class="size-full wp-image-1972" title="005-2" src="http://www.kikwete2010.co.tz/wp-content/uploads/2010/10/005-2.jpg" alt="" width="600" height="403" /></a><p class="wp-caption-text">Mgombea Mwenza wa Urais wa CCM, Dk. Mohamed Gharib Bilal, akimnadi mgombea ubunge wa Jimbo la Misungwi, Dk. Charles Kitwanga, wakati wa mkutano wa kampeni uliofanyika katika Uwanja wa Soko la zamani la Misungwi Okt 22.</p></div>
]]></content:encoded>
			<wfw:commentRss>http://www.kikwete2010.co.tz/dk-bilal-alivyomalizia-ziara-yake-ya-kampeni-mwanza/feed/</wfw:commentRss>
		<slash:comments>0</slash:comments>
		</item>
	</channel>
</rss>

